JESHI la Polisi nchini limefanikiwa kudhibiti maandamano ya viongozi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika maeneo mbalimbali Dar es Salaam. Aidha, Kamanda wa Polisi wa Kan ...
Msingi wa ulinzi huo mkali, ni kuhakikisha wanadhibiti vilivyo maandamano yaliyoitishwa Septemba 11, 2024 na Chadema, waliyoyaita ya maombolezo na amani.